[6] [recent] [slider-top-big] [Music]
You are here: Home / EXCLUSIVE: Tumekusogezea njia hizi 22 Za Jinsi ya uvaaaji zitakazokufanya utoke smart Mtaani...

EXCLUSIVE: Tumekusogezea njia hizi 22 Za Jinsi ya uvaaaji zitakazokufanya utoke smart Mtaani...

| No comment
  Utanashati na uvaaji huwa rahisi saana na kukufanya uonekane mwanaume smart au mwanamke wa heshima,lakini inakuwa rahisi zaidi pindi unapokuwa unajua jinsi ya kudress up vizuri.
  Lakini kama hujui vizuri au unahitaji kuongeza ujuzi jinsi ya kuonekana smart , Usijali tumekuletea baadhi ya njia za uvaaji zitakazokufanya uonekane smart na kuondoa makosa madogo madogo ambayo hufanya.

Hizi ni baadhi ya njia zitakazokusaidia katika uvaaji wako wa kila siku na kukufanya uonekane smart muda woote:

   

1. Tumia njia hii kuweka mwonekano wa shati lako vizuri, njia hii kwa kingereza inaitwa The Military Tuck.

Video hii inakuonyesha jinsi ya kuvaa vizuri shati lako:


Source: Youtube











2. Hakikisha pindo za mikono yako inafiti kwenye mabega yako vizur bila kuzidi.




Source: Igerit

     

3. Mara zote hakikisha unalinganisha usawa wa vifungo vya shati lako na zipu ya suruali.





    

4. Kuvaa nguo ndefu na zisizo pana (zinazokufiti) hukufanya uonekane mrefu zaidi.




Source: Saree Times 

    

5. Kama ni mwembamba, tafuta nguo ndefu na zenye urembo mwingi hizo hukufanya uonekane vizuri zaidi.





Source: Mirraw

   

6. Ili kufanya zipu ya suruali ako isishuke unaweza tumia ujanja huu kwa kutumia  rubber band.






    

7. Pia kuvaa nguo zinazoendana na rangi ya mwili wako hukufanya uonekane vizuri zaidi.

Source: Pinterest

    

8. Tumia ujanja huu kufanya sidiria (bra) isishuke nje ya mabega yako.





Source: Recycled Fashion


9. Unaweza kuvaa  button-up kati ya shati na sweta lako ili kuonekana ili kuboresha mwonekano wako.






    

10. Inategemea umevaa nguo gani ndivyo inabidi uchague mkufu wako wa shingoni (necklaces) ili kuendana na nguo yako.







    

11. Tumia kifundo cha mkanda ili kuongeza na kuboresha mwonekano wako.








Source: Quora

    

12. Mwanamke, Vaa tight ndani pindi unapokuwa unavaa jinsi za namna hii kuliko kuacha mapaja yako wazi kabsa.






    

13. Nguo zenye mistari ya kulala hukufanya uonekane mpana wakati nguo zenye mistari ya kusimama hukufanya uonekane mrefu.









    

14. Hapa ni jinsi ya kuvaa boots na suruali ambayo sio ya kubana.














Source: Quora

    

15. Hakikisha upana wa tai yako unaendana na upana wa kora ya koti lako la suti.




Source: BlackLapel

    

16. Mara zote fananisha (Match) rangi ya mkanda wako na rangi ya kiatu chako.







Source: RealMenRealStyle

        

17. Unapokuwa unanunua suruali hakikisha unanunua ile ambayo inagusa mpaka viatu vyako.





  

18. Unapokuwa umevaa suruali za kawaida basi, match rangi ya socks zako na suruali, kama inashindikana basi match na rangi ya viatu.




Source: VK

     

19. Tumia njii hii kukunja shati lako ili kupunguza mikunjamano mingi katika shati lako.




   

20. Sew old or cheap bra cups into a backless dress for a proper fit.








 Source: Quora

     

21.Vaa buti zizofika usawa wa magoti yako hukufanya uonekane vizuri zaidi.








Source: Quora

    

22. Tumia  kiraka (maker) zinazofanana na rangi ya kiatu chako ili kuficha michubuko yeyote kwenye kiatu chako.




Source: Quora



  Naamini kwa njia hizi zitakusaidia saana asante kwa kutembelea ukurasa.

Enjoy Your Day...