[6] [recent] [slider-top-big] [Music]
You are here: Home / Unajua Kwanini Ma-Celebrity Kutoka Pande Zote Za Dunia Wanapiga Picha Na Dogo Huyu Wa Miaka 14 Toka Dubai?

Unajua Kwanini Ma-Celebrity Kutoka Pande Zote Za Dunia Wanapiga Picha Na Dogo Huyu Wa Miaka 14 Toka Dubai?

| No comment
Pindi baba'ako anapokuwa Tajiri na mfanyabiashara Maarufu, Unakuwa na uhakika wa kuishi maisha ya kifahari kwa asilimia zoote.
Tunafikiria kuwa watoto wa matajiri wanaweza safiri katika private jets zao huku wakiwa na kundi kubwa la wahudumu wakiwafuata na kuwahudumia kila mara na kila sehemu, Kama 
babaako anakuwa na pesa nyingi kiasi hicho basi matanuzi na raha kama hizo inakuwa ndio zawadi kubwa inaweza tokea. 

Lakini Mtoyo huyu wa Miaka 14 ana maisha hayo ambayo ingekuwa ni mimi au wewe sijui Ingekuwaje.

Rashed Saif Belhasa Anayefashamika zaidi kama Money Kicks, Kijana wa Mfanyabiashara  tycoon Saif Ahmed Belhasa, Ni kama anaishi ''Ndoto''. Wakati watoto wa Umri kama wake wakihangaika na maisha ya shule shule au mitaani, Mvulana huyu ana-chill na mastaa na kupiga nao picha na kurekodi Videos!
Nana rundo la sneakers katika kabati lake la viatu na  YouTube channel vinaoonekana viatu hivyo ambacho chumba hicho hutumia kuchill na mastaa hao wa dunia.

Nyumbani kwake kumekuwa kama kituo cha lazima cha mastaa wote wanaotembelea  Dubai ambao hupiga nao picha na kuzipost mitandaoni akiwa nao. 

Akiwa na King Khan wapenzi wa movie za Kihindi wanamjua!


Na Salman Ni mwingine tena.


Jackie Chan Akiwa na furaha zaidi kupiga picha na huyu kijana!



''Money Kicks''  kama anavyofahamika akiwa na Superstar wa mpira Mess....


Cristiano Ronaldo Nae hakukosa kukutana na huyu kijana!


Lakini bado haikotosha, Neyma nae kahusika kauza sura na huyu Dogo.


Kijana

huyu alihudhuria Event ambayo Akon nae alikuwepo na alifurahia zaidi kupiga nae picha.



Paris Hiltoni nae alipose na kijana huyu.


Pindi Rashed asipokuwa na mastaa bas hutulia na chui wake katika bustani nzurii wakicheza


Yup, Hawa ndo wanyama wake.






Akiwa na August Alsina






Akiwa na Rooney



Tyga Nae Yumo


 

Kijana huyu ana ''Shamba'' la video ambayo yeye kai-dedicate kama ''The tour of the farm''. Check out the video here



Na hata account ya Rashed Saif Belhasa ya Instagram  Itakuacha mdomo wazi kwa picha kibao anazochill na mastaa.

Nani kasema Pesa haiwezi kununua Furaha?