Error 404 - Not Found
Sorry, but you are looking for something that isn't here.
Polisi kukatwa mshahara wasipowapigia saluti wabunge
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Fakharia
Khamis amehoji bungeni adhabu gani askari anapewa ikiwa atashindwa kutoa
saluti kwa mbunge.Katika swali la nyongeza mbunge huyo alitaka kujua
maana ya saluti kwa askari ni nini, na viongozi gani wa uraiani
wanaotakiwa kupigiwa saluti katika mhimili wa Bunge, Serikali na
Mahakama.Akijibu swali la mbunge huyo, Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na
Uvuvi, William Ole Nasha kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
alisema Serikali imetangaza adhabu ya kuwakata mishahara na adhabu
nyingine, askari polisi wote nchini ambao hawatawapigia saluti wabunge
wa Bunge la Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Ole Nasha alisema kumpigia saluti mbunge
ni jambo la lazima kwa askari kwa kuwa lipo kwenye moja ya masharti
yao, hivyo kutokufanya hivyo ni kushindwa kutii kiapo cha uaminifu wao.
“Askari asipotoa saluti unatakiwa kumripoti kwa kiongozi wake ambapo
atapewa adhabu ikiwamo kukatwa mshahara, kupigishwa paredi, kufanya
usafi katika maeneo ya vituo na adhabu nyingine nyingi zinazofanana na
hizo,” alisema Ole Nasha. Alisema saluti ni salamu ya kijeshi ambayo
hutolewa na askari kwa mujibu wa kanuni za kudumu za utendaji za jeshi
la polisi (Police General Orders –PGO No 102).
Naibu Waziri alisema sheria hiyo
imewataja askari wa vyeo vyote kuwa wanatakiwa kupiga saluti kwa Rais wa
Jamhuri na Rais wa Zanzibar, Makamu wa Rais na Makamu wawili wote wa
Zanzibar, majaji wakuu wa Muungano na Zanzibar.Wengine ni Spika wa
Muungano na Zanzibar, mawaziri wote wa Jamhuri na Zanzibar, makatibu wa
Bunge na Baraza la Wawakilishi, wabunge wa muungano na wawakilishi
wanapokuwa kwenye maeneo yao, wakuu wa mikoa, majaji wanapokuwa kwenye
maeneo yao na kwa nafasi zingine ni wakuu wa wilaya na mahakimu kwenye
maeneo yao.
Unasemaje kuhusu hii?
Kuwa wa kwanza kucoment hapa!
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
DISCLAIMER
MakambakoTv.com does not store any files. Everything posted is for promotional use only. Files downloaded should only be kept for 24 hours and then deleted. All music and videos are copyrights to the original owners. Please support the artists and buy their work.
Thank You For Visiting MakambakoTv.Blogspot.com
HABARI KUU
-
U mri....18+ Mtunzi : E ddazaria G. M sulwa &nbs... sp; ILIPOISHIA Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha k.. Read more
-
Mtunzi : E ddazaria G. M sulwa Ni siku ya jumamo... osi kama kawaida wanafunzi wote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza.. Read more
-
Hit maker wa wimbo ‘Namjua’ Shetta amefunguka kwa ku... usema kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao hawajawai kutoa ngoma mbaya katik.. Read more
-
Penzi kati ya Baraka da Prince linazidi kuwa Gumzo mitandao... oni Baada ya Jana Baraka Kuposti Video Akifanya yake Kwa Najma , h uku Naj Akiw.. Read more
7 Android Apps You Must Uninstall From Your Phone Immediately
Apr 28, 2017|No comment
New VIDEO: French Montana ft Swae Lee – Unforgettable
Apr 15, 2017|No comment
JOTI TV – 18 Role Call ya Bwana Shamba (Episode 18) || Watch & Download Link
Sep 03, 2016|No comment
Video : Mkubwa Fella aonyesha Nyumba Mpya 4 Za Yamoto Band
Sep 03, 2016|No comment
Safi saana bieber
Teknolojia
7 Android Apps You Must Uninstall From Your Phone Immediately
Apr 28, 2017 | No comment
With new technology being introduced every hour these days there is literally an app for everythin...UJERUMANI WAZINDUA GARI LINALOANGAZA (THE TRANSPARENT CAR )
Jul 26, 2016 | No comment
Unatumia Android?? Na Unapenda Photo Editing, Hii Inakuhusu Apps 4 Ambazo Ni Nzuri Kwa Photo Editing Zaidi Ya iOS Prisma
Jul 15, 2016 | No comment
Hummingbad: Kirusi kilichoteketeza zaidi ya Smartphone mil. 10
Jul 09, 2016 | No comment
Wanafunzi wa nchini China na Teknolojia katika Kuibia Mitihani
Jun 16, 2016 | No comment
Siasa
Madiwani wa UKAWA Wasusia Kikao cha Paul Makonda Kwa Madai Kwamba Anawadharau
Aug 04, 2016 | No comment
Madiwani wa Ukawa wa Manispaa ya Kinondoni wamesusa kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa wa ...Tundu Lissu Atiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi baada ya kufanya mkutano wa hadhara Akiwa Singida.....Msigwa Ahutubia Iringa, Adai Serikali Imekurupuka Kuhamia Dodoma
Aug 03, 2016 | No comment
Bilionea wa Chadema Mustapha Jaffer Sabodo Amuunga Mkono Rais Magufuli....Aahidi Kutoa Trilioni 10 za Kuwekeza Dodoma
Aug 02, 2016 | No comment
Wabunge wa Ukawa waendelea kususia vikao vya Bunge
Jun 20, 2016 | No comment
Post a Comment